Tafuta katika Blogu Hii

Alhamisi, 5 Desemba 2013

Breaking News,Nelson Mandela Amefariki Dunia





  Habari kuhusu kifo cha Nelson Mandela zimetangazwa na Rais wa sasa wa Africa Kusini Bwana Jacob Zuma mida ya saa saba usiku kuamkia leo December 6 2013. Pia vyombo vya habari Bbc Na CNN vimetangaza kuwa Mandela amefariki akiwa na miaka 95 na alikuwa
hospitalini kwa muda mrefu akipata matibabu.
CNN Wana Repoti kuwa Mwezi wa tatu mwaka 2013 Mandela aliumwa sana na raia wangi Africa Kusini walijua watampoteza Mandela ila haikuwa hivyo na hali yake ikawa nzuri kwa muda na baadae kurudishwa hospitalini baada ya kuzidiwa. 

Bendera zote Africa Kusini zimeanza kupepea nusu mlingoti baada ya kutangazwa kwa kifo cha Nelson Mandela.           

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni