Tafuta katika Blogu Hii

Jumatano, 14 Januari 2015

MAMBO YA USAJILI ULAYA HAYA HAPA ..........



Hatimaye Manchester city wamekubali kutoa kitita cha pauni million 27 kwaajilia ya kumnuna mchezaji wa Swansea city na timu ya taifa ya ivory coast ambae amepewa mkataba wa miaka minne na nusu kwaajili ya kuisaidia timu ya Manchester city kuchukua ubingwa wa ligi.
Tayari Bony n mchezaji wa man city huu uhamisho unamfdanya bony kuweka history yakuwa mchezji ghali wa Africa ambae analipwa mshahara wa pauni 115,000 kwa week.
City watamsubiri bony mpaka atakapo rudi kutoka kombe la mataifa ya afrika  pamoja na mchezaji tegemeo wa Manchester city yaya toure, lakin wakiwa na imani kuwa bony atafanya makubwa akiwa na timu hiyo ya Manchester
Bony inatakiwa aonyeshe uwezo alouonyesha mwaka 2014 kwa kuwa mfungaji mwenye magoli mengi akifuatiwa na kun Aguero akimaliza mwaka kwa magoli 20.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni