Tafuta katika Blogu Hii

Alhamisi, 15 Januari 2015

USHER RYMOND musician amvisha pete meneja wake wa zamani GRACE MIGUEL...............



Muimbaji huyo wa R&B ameamua kumchumbia girlfriend wake huyo pia meneja wake GRACE MIGUEL ambae USher amepitwa miaka nane na huyo mpenzi wake.

katika interview na gazeti la billboard october  2014.  usher alisema i have an incredible partner and meneja, amenisaidia katika kipindi kigumu nilicho pitia katika maisha yangu, ameka mtu anae ni support na muelewa kwangu.

Usher ni baba wa watoto wa kiume wawili aliwapata kipind yuko na mke wake wa zaman aliechana nae TAMEKA FOSTER.


Maoni 1 :